3 Nao wakaondoka Ramesesi+ katika mwezi wa kwanza, katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza.+ Siku ileile iliyofuata pasaka+ wana wa Israeli wakatoka kwa mkono ulioinuliwa mbele ya macho ya Wamisri wote.+
17 Mungu wa watu hawa Israeli aliwachagua mababu zetu, naye akawainua watu hao walipokuwa wakikaa katika nchi ya kigeni katika nchi ya Misri na kuwatoa katika hiyo kwa mkono ulioinuliwa.+