Zaburi 104:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nitamwimbia Yehova katika maisha yangu yote;+Nitampigia Mungu wangu muziki maadamu nipo.+ Matendo 16:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini karibu na katikati ya usiku+ Paulo na Sila walikuwa wakisali na kumsifu Mungu kwa wimbo;+ ndiyo, wafungwa walikuwa wakiwasikia. Waefeso 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 mkijisemesha kwa zaburi+ na sifa+ kwa Mungu na nyimbo za kiroho, mkiimba+ na kupiga muziki+ katika mioyo yenu kwa Yehova,
25 Lakini karibu na katikati ya usiku+ Paulo na Sila walikuwa wakisali na kumsifu Mungu kwa wimbo;+ ndiyo, wafungwa walikuwa wakiwasikia.
19 mkijisemesha kwa zaburi+ na sifa+ kwa Mungu na nyimbo za kiroho, mkiimba+ na kupiga muziki+ katika mioyo yenu kwa Yehova,