Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 17:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Naye Ahithofeli akaona kwamba haikutendwa kulingana na shauri lake,+ naye akatandika punda, akaondoka na kwenda nyumbani kwake katika jiji lake.+ Kisha akawapa nyumba yake+ amri halafu akajinyonga,+ akafa.+ Basi akazikwa+ katika makaburi ya mababu zake.

  • Waroma 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo,+ lakini zawadi+ ambayo Mungu hutoa ni uzima wa milele+ kupitia Kristo Yesu Bwana wetu.+

  • 1 Petro 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Zaidi ya hayo, ikiwa mnamwitia Baba ambaye huhukumu bila ubaguzi+ kulingana na matendo ya kila mmoja, jiendesheni kwa kuogopa+ katika wakati wa kukaa kwenu ugenini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki