Zaburi 113:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Jina la Yehova na libarikiwe+Kutoka sasa mpaka wakati usio na kipimo.+ Danieli 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Danieli akajibu na kusema: “Jina la Mungu na libarikiwe+ kutoka wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo, maana hekima na nguvu ni zake.+
20 Danieli akajibu na kusema: “Jina la Mungu na libarikiwe+ kutoka wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo, maana hekima na nguvu ni zake.+