Zaburi 79:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Usikumbuke dhidi yetu makosa ya mababu zetu.+Ufanye haraka! Rehema zako na zitufikie,+Kwa maana tumekuwa maskini sana.+ Zaburi 106:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Akawakomboa mara nyingi,+Lakini wao wakawa wakijiendesha kwa uasi katika mwendo wao wa kutokutii,+Nao wakashushwa kwa sababu ya kosa lao.+ Zaburi 142:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Usikilize kilio changu cha kusihi,+Kwa maana nimekuwa maskini sana.+Unikomboe kutoka kwa watesaji wangu,+Kwa maana wana nguvu kuliko mimi.+
8 Usikumbuke dhidi yetu makosa ya mababu zetu.+Ufanye haraka! Rehema zako na zitufikie,+Kwa maana tumekuwa maskini sana.+
43 Akawakomboa mara nyingi,+Lakini wao wakawa wakijiendesha kwa uasi katika mwendo wao wa kutokutii,+Nao wakashushwa kwa sababu ya kosa lao.+
6 Usikilize kilio changu cha kusihi,+Kwa maana nimekuwa maskini sana.+Unikomboe kutoka kwa watesaji wangu,+Kwa maana wana nguvu kuliko mimi.+