Mwanzo 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akawa na imani katika Yehova;+ naye akamhesabia kuwa ni uadilifu.+ 2 Wakorintho 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi kwa sababu tuna roho ileile ya imani kama ile ambayo imeandikwa hivi juu yake: “Mimi nilionyesha imani, kwa hiyo nikasema,”+ sisi pia tunaonyesha imani na kwa hiyo tunasema, Waebrania 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Imani+ ni tarajio lililohakikishwa la mambo yanayotumainiwa,+ uthibitisho ulio wazi wa mambo halisi ingawa hayaonekani.+
13 Basi kwa sababu tuna roho ileile ya imani kama ile ambayo imeandikwa hivi juu yake: “Mimi nilionyesha imani, kwa hiyo nikasema,”+ sisi pia tunaonyesha imani na kwa hiyo tunasema,
11 Imani+ ni tarajio lililohakikishwa la mambo yanayotumainiwa,+ uthibitisho ulio wazi wa mambo halisi ingawa hayaonekani.+