Zaburi 22:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ninyi mnaomwogopa Yehova, msifuni!+Enyi nyote mlio uzao wa Yakobo, mtukuzeni!+Na mwogopeni yeye, enyi nyote mlio uzao wa Israeli.+ Ufunuo 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Pia, sauti ikatoka katika kile kiti cha ufalme na kusema: “Muwe mkimsifu Mungu wetu, enyi nyote watumwa wake,+ ambao mnamwogopa, wadogo kwa wakubwa.”+
23 Ninyi mnaomwogopa Yehova, msifuni!+Enyi nyote mlio uzao wa Yakobo, mtukuzeni!+Na mwogopeni yeye, enyi nyote mlio uzao wa Israeli.+
5 Pia, sauti ikatoka katika kile kiti cha ufalme na kusema: “Muwe mkimsifu Mungu wetu, enyi nyote watumwa wake,+ ambao mnamwogopa, wadogo kwa wakubwa.”+