Zaburi 103:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kuwaelekea wale wanaolishika agano lake+Na kuwaelekea wale wanaoyakumbuka maagizo yake ili kuyafanya.+ Zaburi 119:94 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 94 Mimi ni wako. Uniokoe,+Kwa sababu nimeyatafuta maagizo yako.+
18 Kuwaelekea wale wanaolishika agano lake+Na kuwaelekea wale wanaoyakumbuka maagizo yake ili kuyafanya.+