Mwanzo 49:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa kweli nitaungoja wokovu kutoka kwako, Ee Yehova.+ Zaburi 14:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Laiti wokovu wa Israeli ungetoka Sayuni!+Wakati ambapo Yehova anawakusanya tena mateka wa watu wake,+Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi.+ Luka 2:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 kwa sababu macho yangu yameona njia yako ya kuokoa+
7 Laiti wokovu wa Israeli ungetoka Sayuni!+Wakati ambapo Yehova anawakusanya tena mateka wa watu wake,+Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi.+