Zaburi 25:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Pia, hakuna yeyote kati ya wale wanaokutumainia atakayeona aibu.+Wale wanaotenda kwa hila bila kupata mafanikio wataona aibu.+ Zaburi 35:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wale ambao ni adui zangu bila sababu yoyote wasishangilie juu yangu;+Nao wale wanaonichukia bila sababu, wasikonyeze jicho.+
3 Pia, hakuna yeyote kati ya wale wanaokutumainia atakayeona aibu.+Wale wanaotenda kwa hila bila kupata mafanikio wataona aibu.+
19 Wale ambao ni adui zangu bila sababu yoyote wasishangilie juu yangu;+Nao wale wanaonichukia bila sababu, wasikonyeze jicho.+