Zaburi 119:74 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 74 Wale wanaokuogopa ndio wanaoniona na kushangilia,+Kwa maana nimelingojea neno lako mwenyewe.+ Zaburi 119:114 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 114 Wewe ni mahali pangu pa kujificha na ngao yangu.+Kwa maana nimelingojea neno lako.+