Zaburi 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hatua zangu na zishike njia zako,+Ambamo hatua za miguu yangu hakika hazitatikiswa.+ Isaya 41:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana mimi, Yehova Mungu wako, ninaushika mkono wako wa kuume,+ Mwenye kukuambia, ‘Usiogope.+ Mimi mwenyewe nitakusaidia.’+
13 Kwa maana mimi, Yehova Mungu wako, ninaushika mkono wako wa kuume,+ Mwenye kukuambia, ‘Usiogope.+ Mimi mwenyewe nitakusaidia.’+