Zaburi 18:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+Neno la Yehova limetakaswa.+Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+ Zaburi 119:67 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 67 Kabla ya kuteseka nilikuwa nikifanya dhambi bila kukusudia,+Bali sasa nimelishika neno lako.+
30 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+Neno la Yehova limetakaswa.+Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+