Zaburi 56:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, kwa sababu mwanadamu anayeweza kufa amenikamata.+Akiwa anafanya vita mchana kutwa, yeye anaendelea kunikandamiza.+ Zaburi 76:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana ghadhabu ya mwanadamu itakusifu;+Utajifunga ghadhabu iliyobaki. Methali 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na tuwameze wakiwa hai+ kama Kaburi,*+ naam, wakiwa wazima, kama wale wanaoshuka shimoni.+
56 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, kwa sababu mwanadamu anayeweza kufa amenikamata.+Akiwa anafanya vita mchana kutwa, yeye anaendelea kunikandamiza.+