Zaburi 124:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nafsi yetu ni kama ndege ambaye ameponyoka+Kutoka katika mtego wa watega-chambo.+Mtego umevunjwa,+Na sisi tumeponyoka.+ Zaburi 140:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Waliojiinua wenyewe wameficha mtego kwa ajili yangu;+Nao wamezitandika kamba kama wavu kando ya njia.+Wametega minaso kwa ajili yangu.+ Sela.
7 Nafsi yetu ni kama ndege ambaye ameponyoka+Kutoka katika mtego wa watega-chambo.+Mtego umevunjwa,+Na sisi tumeponyoka.+
5 Waliojiinua wenyewe wameficha mtego kwa ajili yangu;+Nao wamezitandika kamba kama wavu kando ya njia.+Wametega minaso kwa ajili yangu.+ Sela.