35 Na ikawa kwamba Sanduku lilipokuwa likiondoka, Musa alikuwa akisema: “Usimame, Ee Yehova, adui zako na watawanyike;+ na wale wanaokuchukia vikali wakimbie toka mbele zako.”+
17 Kwa hiyo wakaliingiza ndani sanduku la Yehova na kuliweka mahali pake ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ kisha Daudi akatoa dhabihu za kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika+ mbele za Yehova.