14 “Na itakuwa kwamba ikiwa mwana wako atakuuliza baadaye,+ na kusema, ‘Hili linamaanisha nini?’ basi utamwambia, ‘Kwa nguvu za mkono, Yehova alitutoa Misri,+ katika nyumba ya watumwa.+
21 Nawe ukawatoa watu wako Israeli katika nchi ya Misri,+ kwa ishara na kwa miujiza+ na kwa mkono wenye nguvu na kwa mkono ulionyooshwa na kwa hali kuu ya kuogopesha.+