1 Wafalme 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na makuhani+ hawakuweza kusimama ili kufanya huduma+ yao kwa sababu ya lile wingu, kwa maana utukufu+ wa Yehova uliijaza nyumba ya Yehova.+ Zaburi 57:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Utukuzwe juu ya mbingu, Ee Mungu;+Utukufu wako na uwe juu ya dunia yote.+ Zaburi 104:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Utukufu wa Yehova utakuwa mpaka wakati usio na kipimo.+Yehova atashangilia kwa kazi zake.+
11 Na makuhani+ hawakuweza kusimama ili kufanya huduma+ yao kwa sababu ya lile wingu, kwa maana utukufu+ wa Yehova uliijaza nyumba ya Yehova.+