Zaburi 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ili kumhukumu mvulana asiye na baba na mtu aliyepondwa,+Ili mwanadamu anayeweza kufa, aliye wa dunia, asisababishe tena kutetemeka.+ Zaburi 104:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na divai ambayo hufanya moyo wa mwanadamu anayeweza kufa ushangilie,+Kuufanya uso ung’ae kwa mafuta,+Na mkate unaotegemeza moyo wa mwanadamu anayeweza kufa.+
18 Ili kumhukumu mvulana asiye na baba na mtu aliyepondwa,+Ili mwanadamu anayeweza kufa, aliye wa dunia, asisababishe tena kutetemeka.+
15 Na divai ambayo hufanya moyo wa mwanadamu anayeweza kufa ushangilie,+Kuufanya uso ung’ae kwa mafuta,+Na mkate unaotegemeza moyo wa mwanadamu anayeweza kufa.+