Zaburi 103:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yehova amekifanya imara kiti chake cha ufalme mbinguni;+Nao ufalme wake mwenyewe umetawala juu ya kila kitu.+ Zaburi 111:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Utendaji+ wake ni utukufu na fahari,+ ו [Waw]Na uadilifu wake unasimama milele.+
19 Yehova amekifanya imara kiti chake cha ufalme mbinguni;+Nao ufalme wake mwenyewe umetawala juu ya kila kitu.+