3 kisha tuondoke, twende Betheli. Na huko nitamjengea madhabahu Mungu wa kweli aliyenijibu siku ya taabu+ yangu kwa kuwa alikuwa pamoja nami katika njia niliyoiendea.”+
9 Hata hivyo, Daudi akawajibu Rekabu na Baana ndugu yake, wana wa Rimoni Mbeerothi, na kuwaambia: “Kama Yehova anavyoishi,+ aliyeikomboa+ nafsi+ yangu kutoka katika kila taabu,+