Zaburi 35:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ee Yehova, utaendelea kuona hayo mpaka wakati gani?+Uirudishe nafsi yangu kutoka katika maangamizi yao,+Naam, yangu iliyo ya pekee+ kutoka kwa wana-simba wenye manyoya shingoni. 2 Timotheo 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 lakini Bwana alisimama karibu nami+ na kutia nguvu ndani yangu,+ ili kupitia mimi kazi ya kuhubiri itimizwe kwa ukamili na mataifa yote yaisikie;+ nami nilikombolewa kutoka katika kinywa cha simba.+
17 Ee Yehova, utaendelea kuona hayo mpaka wakati gani?+Uirudishe nafsi yangu kutoka katika maangamizi yao,+Naam, yangu iliyo ya pekee+ kutoka kwa wana-simba wenye manyoya shingoni.
17 lakini Bwana alisimama karibu nami+ na kutia nguvu ndani yangu,+ ili kupitia mimi kazi ya kuhubiri itimizwe kwa ukamili na mataifa yote yaisikie;+ nami nilikombolewa kutoka katika kinywa cha simba.+