Zaburi 22:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Uniokoe kutokana na kinywa cha simba,+Na unijibu na kuniokoa kutokana na pembe za ng’ombe-mwitu.+ 1 Petro 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Tunzeni akili zenu, iweni wenye kulinda.+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.+
8 Tunzeni akili zenu, iweni wenye kulinda.+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.+