Zaburi 31:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nawachukia wale wanaoonyesha kujali sanamu zisizo na faida, za ubatili;+Lakini mimi, namtegemea Yehova.+ Zaburi 139:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Je, mimi siwachukii wale wanaokuchukia vikali, Ee Yehova,+Na je, sichukizwi na wale wanaokuasi?+
6 Nawachukia wale wanaoonyesha kujali sanamu zisizo na faida, za ubatili;+Lakini mimi, namtegemea Yehova.+