Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 33:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ili kuigeuza nafsi yake isiingie shimoni,+

      Ili atiwe nuru kwa nuru ya wale walio hai.+

  • Yeremia 11:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nami nilikuwa kama mwana-kondoo dume, mtulivu, ambaye huletwa machinjioni,+ nami sikujua kwamba walipanga hila juu yangu:+ “Na tuuharibu mti pamoja na matunda yake, na tumkatilie mbali kutoka katika nchi ya walio hai,+ ili jina lake lisikumbukwe tena.”

  • Ezekieli 26:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 pia nitakushusha chini pamoja na wale wanaoshuka kuingia shimoni kwa watu wa zamani za kale,+ nami nitakufanya ukae katika nchi ya chini zaidi,+ kama mahali palipoharibiwa kwa muda mrefu, pamoja na wale wanaoshuka kuingia shimoni,+ ili usipate kukaliwa; nami nitaweka pambo katika nchi ya wale walio hai.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki