Zaburi 27:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kama nisingalikuwa na imani katika kuuona wema wa Yehova katika nchi ya walio hai+—! Ezekieli 32:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana makaburi yake yamewekwa katika sehemu za ndani kabisa za shimo,+ na kutaniko lake linazunguka kaburi lake pande zote, hao wote wakiwa wameuawa, wakianguka kwa upanga, kwa sababu walikuwa wamesababisha hofu katika nchi ya walio hai.
23 Kwa maana makaburi yake yamewekwa katika sehemu za ndani kabisa za shimo,+ na kutaniko lake linazunguka kaburi lake pande zote, hao wote wakiwa wameuawa, wakianguka kwa upanga, kwa sababu walikuwa wamesababisha hofu katika nchi ya walio hai.