Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 27:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mwingine na akusifu, wala si kinywa chako mwenyewe; mgeni na afanye hivyo, wala si midomo yako mwenyewe.+

  • Mathayo 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa sababu hiyo wakati unapotoa zawadi za rehema,+ usipige tarumbeta+ mbele yako, kama vile wanafiki wanavyofanya katika masinagogi na barabarani, ili watukuzwe na watu. Kwa kweli ninawaambia ninyi, Wanapata thawabu yao kwa ukamili.

  • Luka 18:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yule Farisayo akasimama+ na kuanza kusali+ mambo haya akisema moyoni, ‘Ee Mungu, ninakushukuru ya kuwa mimi si kama wale watu wengine, wanyang’anyi, wasio waadilifu, wazinzi, au hata kama mkusanya-kodi huyu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki