1 Samweli 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Waulize hao vijana wako, nao watakuambia, ndipo vijana wangu wapate kibali machoni pako, kwa kuwa tumekuja siku nzuri. Tafadhali, wape watumishi wako na Daudi mwana wako chochote ambacho mkono wako unaweza kupata.’”+ Yakobo 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana yeye asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atapata hukumu yake bila rehema.+ Rehema hufurahi kwa njia ya ushindi juu ya hukumu.
8 Waulize hao vijana wako, nao watakuambia, ndipo vijana wangu wapate kibali machoni pako, kwa kuwa tumekuja siku nzuri. Tafadhali, wape watumishi wako na Daudi mwana wako chochote ambacho mkono wako unaweza kupata.’”+
13 Kwa maana yeye asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atapata hukumu yake bila rehema.+ Rehema hufurahi kwa njia ya ushindi juu ya hukumu.