Mwanzo 43:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Nao wakamletea chakula chake kando na kile chao kando na cha Wamisri waliokuwa wakila naye kando; kwa maana Wamisri hawangeweza kula chakula pamoja na Waebrania, kwa sababu hilo ni chukizo kwa Wamisri.+
32 Nao wakamletea chakula chake kando na kile chao kando na cha Wamisri waliokuwa wakila naye kando; kwa maana Wamisri hawangeweza kula chakula pamoja na Waebrania, kwa sababu hilo ni chukizo kwa Wamisri.+