Methali 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Divai ni mdhihaki,+ kileo husababisha msukosuko,+ na kila mtu anayepotezwa nacho hana hekima.+ Waefeso 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Pia, msiwe mkilewa+ divai, ambayo ina upotovu ndani yake,+ bali endeleeni kujazwa na roho,+