Zaburi 104:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi, Ee Yehova!+Zote umezifanya kwa hekima.+Dunia imejaa vitu ulivyotokeza.+ Methali 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hekima ya kweli+ imejenga nyumba yake;+ imechonga nguzo zake saba. Methali 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mwanamke mwenye hekima kwelikweli amejenga nyumba yake,+ lakini aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.+
24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi, Ee Yehova!+Zote umezifanya kwa hekima.+Dunia imejaa vitu ulivyotokeza.+
14 Mwanamke mwenye hekima kwelikweli amejenga nyumba yake,+ lakini aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.+