Methali 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hekima ya kweli+ huendelea kulia kwa sauti kubwa barabarani.+ Hutoa sauti yake katika viwanja vya watu wote.+ 1 Wakorintho 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Bali tunasema hekima ya Mungu katika siri takatifu,+ hekima iliyofichwa, ambayo Mungu aliagiza kimbele kabla ya mifumo+ ya mambo kwa ajili ya utukufu wetu.
20 Hekima ya kweli+ huendelea kulia kwa sauti kubwa barabarani.+ Hutoa sauti yake katika viwanja vya watu wote.+
7 Bali tunasema hekima ya Mungu katika siri takatifu,+ hekima iliyofichwa, ambayo Mungu aliagiza kimbele kabla ya mifumo+ ya mambo kwa ajili ya utukufu wetu.