2 Mambo ya Nyakati 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hezekia+ alikuwa mfalme akiwa na umri wa miaka 25, naye akatawala miaka 29 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Abiya binti ya Zekaria.+ Mathayo 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hezekia akamzaa Manase;+Manase+ akamzaa Amoni;+Amoni+ akamzaa Yosia;
29 Hezekia+ alikuwa mfalme akiwa na umri wa miaka 25, naye akatawala miaka 29 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Abiya binti ya Zekaria.+