1 Samweli 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Je, leo si mavuno ya ngano?+ Nitamwomba+ Yehova ili alete mngurumo na mvua;+ ndipo mjue na kuona kwamba uovu wenu ni mwingi+ ambao mmefanya machoni pa Yehova kwa kujiombea mfalme.”
17 Je, leo si mavuno ya ngano?+ Nitamwomba+ Yehova ili alete mngurumo na mvua;+ ndipo mjue na kuona kwamba uovu wenu ni mwingi+ ambao mmefanya machoni pa Yehova kwa kujiombea mfalme.”