Zaburi 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Maneno ya Yehova ni maneno safi,+Kama fedha iliyosafishwa katika tanuru ya kuyeyushia kwenye udongo, iliyosafishwa mara saba. Zaburi 66:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana umetuchunguza, Ee Mungu;+Umetusafisha kama kusafisha fedha.+
6 Maneno ya Yehova ni maneno safi,+Kama fedha iliyosafishwa katika tanuru ya kuyeyushia kwenye udongo, iliyosafishwa mara saba.