Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 39:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye bwana wake akaona kwamba Yehova alikuwa pamoja naye na kwamba kila jambo alilokuwa akifanya Yehova alikuwa akilifanikisha mikononi mwake.

  • Methali 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Anayefanya kazi kwa mkono mlegevu atakuwa maskini,+ lakini mkono wa mwenye bidii ndio utakaomtajirisha.+

  • Methali 12:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Uvivu hautatimua mawindo ya mtu,+ lakini bidii ni mali yenye thamani ya mtu.

  • Wakolosai 3:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lolote mnalofanya, lifanyeni kwa nafsi yote+ kama kwa Yehova,+ na si kama kwa wanadamu,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki