Mhubiri 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Usifanye haraka kuhusiana na kinywa chako; nao moyo wako,+ usiwe na haraka kusema neno mbele za Mungu wa kweli.+ Kwa maana Mungu wa kweli yuko mbinguni+ lakini wewe uko duniani. Ndiyo sababu maneno yako yanapaswa kuwa machache.+ Yakobo 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mtu lazima awe mwepesi kuhusu kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa ghadhabu;+
2 Usifanye haraka kuhusiana na kinywa chako; nao moyo wako,+ usiwe na haraka kusema neno mbele za Mungu wa kweli.+ Kwa maana Mungu wa kweli yuko mbinguni+ lakini wewe uko duniani. Ndiyo sababu maneno yako yanapaswa kuwa machache.+
19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mtu lazima awe mwepesi kuhusu kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa ghadhabu;+