Methali 14:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yule ambaye si mwepesi wa hasira ana utambuzi mwingi,+ lakini anayekosa subira anainua upumbavu.+ Methali 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mipango ya mwenye bidii bila shaka huleta faida,+ lakini kila mtu anayetenda haraka-haraka bila shaka huuelekea uhitaji.+
5 Mipango ya mwenye bidii bila shaka huleta faida,+ lakini kila mtu anayetenda haraka-haraka bila shaka huuelekea uhitaji.+