5 na kumwambia: “Tazama! Wewe mwenyewe umezeeka, lakini wana wako hawakutembea katika njia zako. Basi sasa tuchagulie mfalme+ wa kutuhukumu sisi kama mataifa mengine yote.”
34 Na watu kutoka katika vikundi vyote vya watu wakazidi kuja kuisikia hekima ya Sulemani,+ naam, kutoka kwa wafalme wote wa dunia waliokuwa wamesikia habari za hekima yake.+