Mwanzo 20:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana Yehova alikuwa amefunga kabisa kila tumbo la uzazi la nyumba ya Abimeleki kwa sababu ya Sara, mke wa Abrahamu.+ Mwanzo 30:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mwishowe Mungu akamkumbuka Raheli, naye Mungu akamsikia na kumjibu kwa kuwa alifungua tumbo lake la uzazi.+ 1 Samweli 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 lakini akampa Hana fungu moja. Hata hivyo, alimpenda Hana.+ Lakini Yehova alikuwa amefunga tumbo lake la uzazi.+
18 Kwa maana Yehova alikuwa amefunga kabisa kila tumbo la uzazi la nyumba ya Abimeleki kwa sababu ya Sara, mke wa Abrahamu.+
22 Mwishowe Mungu akamkumbuka Raheli, naye Mungu akamsikia na kumjibu kwa kuwa alifungua tumbo lake la uzazi.+
5 lakini akampa Hana fungu moja. Hata hivyo, alimpenda Hana.+ Lakini Yehova alikuwa amefunga tumbo lake la uzazi.+