Mwanzo 24:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo akamimina upesi maji ya mtungi wake ndani ya chombo cha kunyweshea wanyama naye akakimbia tena na tena kisimani ili kuteka maji,+ akaendelea kuteka kwa ajili ya ngamia zake wote. Waamuzi 5:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yaeli+ mke wa Heberi Mkeni,+ atabarikiwa zaidi kati ya wanawake,Kati ya wanawake katika mahema atabarikiwa zaidi.+ Ayubu 40:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Tafadhali, jipambe kwa ukuu+ na ustahiki;+Nawe ujivike utukufu+ na fahari.+
20 Kwa hiyo akamimina upesi maji ya mtungi wake ndani ya chombo cha kunyweshea wanyama naye akakimbia tena na tena kisimani ili kuteka maji,+ akaendelea kuteka kwa ajili ya ngamia zake wote.
24 Yaeli+ mke wa Heberi Mkeni,+ atabarikiwa zaidi kati ya wanawake,Kati ya wanawake katika mahema atabarikiwa zaidi.+