Wimbo wa Sulemani 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini kuna mmoja ambaye ni njiwa wangu,+ wangu asiye na lawama.+ Kuna mmoja ambaye ni wa mama yake. Yeye ndiye aliye safi wa yule aliyemzaa. Binti wamemwona, nao wakamtangaza kuwa mwenye furaha; malkia na masuria, nao wakaanza kumsifu,+ Luka 1:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 naye akapaaza sauti kubwa na kusema: “Wewe ni mbarikiwa kati ya wanawake, na uzao wa tumbo lako la uzazi umebarikiwa!+
9 Lakini kuna mmoja ambaye ni njiwa wangu,+ wangu asiye na lawama.+ Kuna mmoja ambaye ni wa mama yake. Yeye ndiye aliye safi wa yule aliyemzaa. Binti wamemwona, nao wakamtangaza kuwa mwenye furaha; malkia na masuria, nao wakaanza kumsifu,+
42 naye akapaaza sauti kubwa na kusema: “Wewe ni mbarikiwa kati ya wanawake, na uzao wa tumbo lako la uzazi umebarikiwa!+