Methali 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Itenge njia yako mbali naye, wala usiukaribie mlango wa nyumba yake,+ 2 Wakorintho 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+ 1 Wathesalonike 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Jiepusheni na kila namna ya uovu.+
14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+