31 Tupilieni mbali kutoka juu yenu makosa yenu yote mliyokosa+ na kujifanyia wenyewe moyo mpya+ na roho mpya,+ kwa maana kwa nini mfe,+ Ee nyumba ya Israeli?’
22 kwamba mnapaswa kuuondolea mbali utu wa zamani+ unaolingana na mwenendo wenu wa kwanza na ambao unaharibiwa+ kulingana na tamaa zake za udanganyifu;+