Hesabu 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na wanawake hao wakaja kuwaita watu waende kwenye dhabihu za miungu yao,+ nao watu wakaanza kula na kuinamia miungu yao.+ 1 Wakorintho 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi mambo hayo yalikuwa vielelezo kwetu sisi, ili tusiwe watu wanaotamani mambo mabaya,+ kama wao walivyoyatamani. Yuda 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa namna kama hiyo, ingawaje, watu hawa, pia, wakijitia mno katika ndoto,+ wanautia mwili unajisi na kupuuza mamlaka+ na kuwatukana watukufu.+
2 Na wanawake hao wakaja kuwaita watu waende kwenye dhabihu za miungu yao,+ nao watu wakaanza kula na kuinamia miungu yao.+
6 Basi mambo hayo yalikuwa vielelezo kwetu sisi, ili tusiwe watu wanaotamani mambo mabaya,+ kama wao walivyoyatamani.
8 Kwa namna kama hiyo, ingawaje, watu hawa, pia, wakijitia mno katika ndoto,+ wanautia mwili unajisi na kupuuza mamlaka+ na kuwatukana watukufu.+