Mwanzo 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hiyo ndiyo sababu mwanamume atamwacha baba yake na mama yake+ naye atashikamana na mke wake nao watakuwa mwili mmoja.+ Mwanzo 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Baadaye Mungu akamjia Abimeleki katika ndoto ya usiku, akamwambia: “Tazama, wewe ni kama tu umekufa, kwa sababu ya mwanamke ambaye umemchukua,+ kwa kuwa yeye ni mke wa mwingine.”+ Mathayo 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana Yohana alikuwa akimwambia: “Si halali wewe kuwa na mwanamke huyo.”+
24 Hiyo ndiyo sababu mwanamume atamwacha baba yake na mama yake+ naye atashikamana na mke wake nao watakuwa mwili mmoja.+
3 Baadaye Mungu akamjia Abimeleki katika ndoto ya usiku, akamwambia: “Tazama, wewe ni kama tu umekufa, kwa sababu ya mwanamke ambaye umemchukua,+ kwa kuwa yeye ni mke wa mwingine.”+