Methali 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mtu ambaye amemwekea dhamana mgeni+ hakika atapatwa na mabaya, lakini anayechukia kufanya mapatano kwa kupeana mkono hukaa bila wasiwasi. Methali 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ikiwa mtu amemwekea mgeni dhamana, lichukue vazi lake;+ na ikiwa amejihusisha na mwanamke mgeni, chukua rehani kutoka kwake.+
15 Mtu ambaye amemwekea dhamana mgeni+ hakika atapatwa na mabaya, lakini anayechukia kufanya mapatano kwa kupeana mkono hukaa bila wasiwasi.
16 Ikiwa mtu amemwekea mgeni dhamana, lichukue vazi lake;+ na ikiwa amejihusisha na mwanamke mgeni, chukua rehani kutoka kwake.+