Mwanzo 38:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye akasema: “Ni rehani gani nitakayokupa?” akasema: “Pete yako ya muhuri+ na kamba yako na fimbo yako iliyo mkononi mwako.” Basi akampa vitu hivyo, akalala naye, naye akapata mimba. Methali 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 ili huo ukukomboe kutoka kwa mwanamke, naam, kutoka kwa mwanamke mgeni+ ambaye amefanya maneno yake kuwa laini,+ Methali 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana midomo ya mwanamke mgeni hudondoka-dondoka kama sega la asali,+ nalo kaakaa lake ni laini kuliko mafuta.+
18 Naye akasema: “Ni rehani gani nitakayokupa?” akasema: “Pete yako ya muhuri+ na kamba yako na fimbo yako iliyo mkononi mwako.” Basi akampa vitu hivyo, akalala naye, naye akapata mimba.
16 ili huo ukukomboe kutoka kwa mwanamke, naam, kutoka kwa mwanamke mgeni+ ambaye amefanya maneno yake kuwa laini,+
3 Kwa maana midomo ya mwanamke mgeni hudondoka-dondoka kama sega la asali,+ nalo kaakaa lake ni laini kuliko mafuta.+