Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 39:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi mwanamke huyo akamshika kwa vazi lake,+ akisema: “Lala nami!”+ Lakini akaliacha vazi lake mkononi mwake, akakimbia na kwenda nje.+

  • Methali 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 ili kukulinda na mwanamke mgeni,+ na mwanamke wa kigeni ambaye amefanya maneno yake mwenyewe kuwa laini.+

  • Methali 22:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kinywa cha wanawake wageni ni shimo refu.+ Anayeshutumiwa na Yehova ataanguka ndani yake.+

  • Methali 23:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana kahaba ni shimo refu+ na mwanamke mgeni ni kisima chembamba.

  • 1 Wakorintho 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwani! Je, hamjui kwamba watu wasio waadilifu hawataurithi ufalme wa Mungu?+ Msipotoshwe. Wala waasherati,+ wala waabudu-sanamu,+ wala wazinzi,+ wala wanaume wanaowekwa kwa ajili ya makusudi yasiyo ya asili,+ wala wanaume wanaolala na wanaume,+

  • 1 Wakorintho 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ukimbieni uasherati.+ Kila dhambi nyingine ambayo mtu huenda akafanya iko nje ya mwili wake, lakini yeye aliye na mazoea ya kufanya uasherati anautendea dhambi mwili+ wake mwenyewe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki