Methali 11:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe, ndivyo alivyo mwanamke mwenye umbo la kupendeza lakini anayegeuka na kuacha kuwa na akili.+ Mathayo 5:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini mimi ninawaambia ninyi kwamba kila mtu ambaye anaendelea kumtazama mwanamke+ na kumtamani tayari amefanya uzinzi+ pamoja naye moyoni mwake.+ Yakobo 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kisha tamaa, wakati imetunga mimba, huzaa dhambi;+ nayo dhambi, wakati imetimizwa, huleta kifo.+
22 Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe, ndivyo alivyo mwanamke mwenye umbo la kupendeza lakini anayegeuka na kuacha kuwa na akili.+
28 Lakini mimi ninawaambia ninyi kwamba kila mtu ambaye anaendelea kumtazama mwanamke+ na kumtamani tayari amefanya uzinzi+ pamoja naye moyoni mwake.+